1 Heri mtu yule anayemjali mnyonge,
2 Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,
3 Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,
4 Nilisema, “Ee Bwana nihurumie,
5 Adui zangu wanasema kwa hila,
6 Kila anapokuja mtu kunitazama,
7 Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,
8 “Ugonjwa mbaya sana umempata,
9 Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,
10 Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie,
11 Najua kwamba wapendezwa nami,
12 Katika uadilifu wangu unanitegemeza
13 Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli,