1 Nilimngoja Bwana kwa saburi,
2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
3 Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,
4 Heri mtu yule amfanyaye Bwana kuwa tumaini lake,
5 Ee Bwana Mungu wangu,
6 Dhabihu na sadaka hukuvitaka,
7 Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:
8 Ee Mungu wangu,
9 Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,
10 Sikuficha haki yako moyoni mwangu;
11 Ee Bwana, usizuilie huruma zako,
12 Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,
13 Ee Bwana, uwe radhi kuniokoa;
14 Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,
15 Wale waniambiao, “Aha! Aha!”
16 Lakini wote wakutafutao
17 Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;