Salmos 40

SWHONEN

1 Nilimngoja Bwana kwa saburi,

2 Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,

3 Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,

4 Heri mtu yule amfanyaye Bwana kuwa tumaini lake,

5 Ee Bwana Mungu wangu,

6 Dhabihu na sadaka hukuvitaka,

7 Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:

8 Ee Mungu wangu,

9 Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,

10 Sikuficha haki yako moyoni mwangu;

11 Ee Bwana, usizuilie huruma zako,

12 Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,

13 Ee Bwana, uwe radhi kuniokoa;

14 Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,

15 Wale waniambiao, “Aha! Aha!”

16 Lakini wote wakutafutao

17 Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado