1 Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu
2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,
3 Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,
4 “Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu
5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;
6 Hakika kila binadamu ni kama njozi
7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini?
8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,
9 Nilinyamaza kimya,
10 Niondolee mjeledi wako,
11 Unakemea na kuadhibu wanadamu
12 “Ee Bwana, usikie maombi yangu,
13 Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena