Salmos 39

SWHONEN

1 Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu

2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,

3 Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,

4 “Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu

5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;

6 Hakika kila binadamu ni kama njozi

7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini?

8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,

9 Nilinyamaza kimya,

10 Niondolee mjeledi wako,

11 Unakemea na kuadhibu wanadamu

12 “Ee Bwana, usikie maombi yangu,

13 Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado