Salmos 38

SWHONEN

1 Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

2 Kwa kuwa mishale yako imenichoma,

3 Hakuna afya mwilini mwangu

4 Maovu yangu yamenifunika

5 Majeraha yangu yameoza na yananuka,

6 Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,

7 Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,

8 Nimedhoofika na kupondwa kabisa,

9 Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku

10 Moyo wangu unapigapiga,

11 Rafiki na wenzangu wananikwepa

12 Wale wanaotafuta uhai wangu

13 Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,

14 nimekuwa kama mtu asiyesikia,

15 Ee Bwana, ninakungojea wewe,

16 Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,

17 Kwa maana ninakaribia kuanguka,

18 Naungama uovu wangu,

19 Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,

20 Wanaolipa maovu kwa wema wangu

21 Ee Bwana, usiniache,

22 Ee Bwana Mwokozi wangu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado