Salmos 42

SWHONEN

1 Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,

2 Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.

3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu

4 Mambo haya nayakumbuka

5 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

6 Mungu wangu.

7 Kilindi huita kilindi,

8 Mchana Bwana huelekeza upendo wake,

9 Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,

10 Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali

11 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado