1 Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,
2 Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu
4 Mambo haya nayakumbuka
5 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?
6 Mungu wangu.
7 Kilindi huita kilindi,
8 Mchana Bwana huelekeza upendo wake,
9 Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,
10 Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali
11 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?