Salmos 36

SWHONEN

1 Kuna neno moyoni mwangu

2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno

3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,

4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,

5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,

6 Haki yako ni kama milima mikubwa,

7 Upendo wako usiokoma

8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,

9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,

10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,

11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,

12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado