1 Kuna neno moyoni mwangu
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,
6 Haki yako ni kama milima mikubwa,
7 Upendo wako usiokoma
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: