Salmos 35

SWHONEN

1 Ee Bwana, pingana na wale wanaopingana nami,

2 Chukua ngao na kigao.

3 Inua mkuki wako na fumo lako

4 Wafedheheshwe na waaibishwe

5 Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,

6 Njia yao na iwe giza na ya utelezi,

7 Kwa vile walinifichia wavu wao bila sababu,

8 maafa na yawapate ghafula:

9 Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Bwana

10 Nitapaza sauti yangu nikisema,

11 Mashahidi wakatili wanainuka,

12 Wananilipa baya kwa jema

13 Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia

14 niliendelea kuomboleza

15 Lakini nilipojikwaa,

16 Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki,

17 Ee Bwana, utatazama mpaka lini?

18 Nami nitakushukuru mbele ya kusanyiko kubwa,

19 Usiwaache wale wanaonisimanga,

20 Hawazungumzi kwa amani,

21 Hunifumbulia vinywa vyao wakisema, “Aha! Aha!

22 Ee Bwana, umeona hili, usiwe kimya.

23 Amka, inuka unitetee!

24 Nihukumu kwa haki yako, Ee Bwana Mungu wangu,

25 Usiwaache wafikiri, “Aha, hili ndilo tulilotaka!”

26 Wote wanaofurahia dhiki yangu

27 Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki

28 Ulimi wangu utanena haki yako

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado