1 Nitamtukuza Bwana nyakati zote,
2 Nafsi yangu itajisifu katika Bwana,
3 Mtukuzeni Bwana pamoja nami,
4 Nilimtafuta Bwana naye akanijibu,
5 Wale wamtazamao hutiwa nuru,
6 Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia,
7 Malaika wa Bwana hufanya kituo
8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,
9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,
10 Wana simba wenye nguvu
11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize,
12 Yeyote kati yenu anayependa uzima
13 basi auzuie ulimi wake na mabaya,
14 Aache uovu, atende mema,
15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki,
16 Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu,
17 Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia,
18 Bwana yu karibu na waliovunjika moyo,
19 Mwenye haki ana mateso mengi,
20 huhifadhi mifupa yake yote,
21 Ubaya utamuua mtu mwovu,
22 Bwana huwakomboa watumishi wake,