Salmos 33

SWHONEN

1 Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki;

2 Msifuni Bwana kwa kinubi,

3 Mwimbieni wimbo mpya;

4 Maana neno la Bwana ni haki na kweli,

5 Bwana hupenda uadilifu na haki;

6 Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa,

7 Ameyakusanya maji ya bahari

8 Dunia yote na imwogope Bwana,

9 Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,

10 Bwana huzuia mipango ya mataifa,

11 Lakini mipango ya Bwana inasimama imara milele,

12 Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao,

13 Kutoka mbinguni Bwana hutazama chini

14 kutoka maskani mwake huwaangalia

15 yeye ambaye huumba mioyo yao wote,

16 Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;

17 Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,

18 Lakini macho ya Bwana yako kwa wale wamchao,

19 ili awaokoe na mauti,

20 Sisi tunamngojea Bwana kwa matumaini,

21 Mioyo yetu humshangilia,

22 Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee Bwana,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado