1 Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,
2 Heri mtu yule ambaye Bwana
3 Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa
4 Usiku na mchana
5 Kisha nilikujulisha dhambi yangu
6 Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe
7 Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,
8 Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;
9 Usiwe kama farasi au nyumbu
10 Mtu mwovu ana taabu nyingi,
11 Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki!