Salmos 29

SWHONEN

1 Mpeni Bwana, enyi mashujaa,

2 Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;

3 Sauti ya Bwana iko juu ya maji;

4 Sauti ya Bwana ina nguvu;

5 Sauti ya Bwana huvunja mierezi;

6 Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

7 Sauti ya Bwana hupiga kwa miali

8 Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;

9 Sauti ya Bwana huzalisha ayala,

10 Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

11 Bwana huwapa watu wake nguvu;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado