Salmos 28

SWHONEN

1 Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;

2 Sikia kilio changu unihurumie

3 Usiniburute pamoja na waovu,

4 Walipe sawasawa na matendo yao,

5 Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,

6 Bwana asifiwe,

7 Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,

8 Bwana ni nguvu ya watu wake,

9 Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado