1 Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;
2 Sikia kilio changu unihurumie
3 Usiniburute pamoja na waovu,
4 Walipe sawasawa na matendo yao,
5 Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,
6 Bwana asifiwe,
7 Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,
8 Bwana ni nguvu ya watu wake,
9 Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;