1 Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu,
2 Waovu watakaposogea dhidi yangu
3 Hata jeshi linizunguke pande zote,
4 Jambo moja ninamwomba Bwana,
5 Kwa kuwa siku ya shida,
6 Kisha kichwa changu kitainuliwa
7 Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana,
8 Moyo wangu unasema kuhusu wewe,
9 Usinifiche uso wako,
10 Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,
11 Nifundishe njia yako, Ee Bwana,
12 Usiniachilie kwa nia za adui zangu,
13 Nami bado nina tumaini hili:
14 Mngojee Bwana,