1 Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,
2 Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie
3 Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,
4 Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake;
5 Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,
6 Nilipofanikiwa nilisema,
7 Ee Bwana, uliponijalia,
8 Kwako wewe, Ee Bwana, niliita,
9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?
10 Ee Bwana, unisikie na kunihurumia,
11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,
12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.