Salmos 30

SWHONEN

1 Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,

2 Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie

3 Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,

4 Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake;

5 Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,

6 Nilipofanikiwa nilisema,

7 Ee Bwana, uliponijalia,

8 Kwako wewe, Ee Bwana, niliita,

9 “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?

10 Ee Bwana, unisikie na kunihurumia,

11 Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,

12 ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado