1 Ee Bwana, mfalme huzifurahia nguvu zako.
2 Umempa haja ya moyo wake
3 Ulimkaribisha kwa baraka tele
4 Alikuomba maisha, nawe ukampa,
5 Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa,
6 Hakika umempa baraka za milele,
7 Kwa kuwa mfalme anamtumaini Bwana;
8 Mkono wako utawashika adui zako wote,
9 Wakati utakapojitokeza
10 Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani,
11 Ingawa watapanga mabaya dhidi yako
12 kwa kuwa utawafanya wakimbie
13 Ee Bwana, utukuzwe katika nguvu zako,