1 Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,
2 Na akutumie msaada kutoka patakatifu
3 Na azikumbuke dhabihu zako zote,
4 Na akujalie haja ya moyo wako,
5 Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,
6 Sasa nafahamu kuwa Bwana
7 Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,
8 Wao wameshushwa chini na kuanguka,
9 Ee Bwana, mwokoe mfalme!