1 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,
2 Siku baada ya siku zinatoa habari,
3 Hakuna msemo wala lugha,
4 Sauti yao imeenea duniani pote,
5 linafanana na bwana arusi
6 Huchomoza upande mmoja wa mbingu,
7 Sheria ya Bwana ni kamilifu,
8 Maagizo ya Bwana ni kamili,
9 Kumcha Bwana ni utakatifu,
10 Ni za thamani kuliko dhahabu,
11 Kwa hizo mtumishi wako anaonywa,
12 Ni nani awezaye kutambua makosa yake?
13 Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi,
14 Maneno ya kinywa changu