1 Msifuni Bwana.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu,
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
4 msifuni kwa matari na kucheza,
5 msifuni kwa matoazi yaliayo,
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.
SWHONEN
1 Msifuni Bwana.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu,
3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
4 msifuni kwa matari na kucheza,
5 msifuni kwa matoazi yaliayo,
6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.