Salmos 150

SWHONEN

1 Msifuni Bwana.

2 Msifuni kwa matendo yake makuu,

3 Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,

4 msifuni kwa matari na kucheza,

5 msifuni kwa matoazi yaliayo,

6 Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado