Provérbios 1

SWHONEN

1 Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:

2 Kwa kupata hekima na nidhamu;

3 kwa kujipatia nidhamu na busara,

4 huwapa busara wajinga,

5 wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao,

6 kwa kufahamu mithali na mifano,

7 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa,

8 Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako,

9 Hayo yatakuwa taji la maua la neema kichwani pako,

10 Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi,

11 Kama wakisema, “Twende tufuatane;

12 tuwameze wakiwa hai kama kaburi,

13 Tutapata aina zote za vitu vya thamani

14 Njoo ushirikiane nasi,

15 Mwanangu, usiandamane nao.

16 kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,

17 Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu

18 Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe;

19 Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila;

20 Hekima huita kwa sauti kuu barabarani,

21 kwenye makutano ya barabara za mji

22 “Enyi wajinga, mtangʼangʼania ujinga wenu hadi lini?

23 Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu,

24 Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita

25 kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote

26 mimi nami nitawacheka katika maafa yenu,

27 wakati janga litawapata kama tufani,

28 “Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu;

29 Kwa kuwa walichukia maarifa,

30 kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu,

31 watakula matunda ya njia zao,

32 Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua,

33 Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado