Provérbios 2

SWHONEN

1 Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu

2 kutega sikio lako kwenye hekima

3 na kama ukiita busara

4 na kama utaitafuta kama fedha

5 ndipo utakapoelewa kumcha Bwana

6 Kwa maana Bwana hutoa hekima,

7 Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,

8 kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki

9 Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki

10 Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,

11 Busara itakuhifadhi

12 Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,

13 wale waachao mapito yaliyonyooka

14 wale wapendao kutenda mabaya

15 ambao mapito yao yamepotoka

16 Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,

17 aliyemwacha mwenzi wa ujana wake

18 Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo

19 Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,

20 Hivyo utatembea katika njia za watu wema

21 Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,

22 Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado