1 Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu
2 kutega sikio lako kwenye hekima
3 na kama ukiita busara
4 na kama utaitafuta kama fedha
5 ndipo utakapoelewa kumcha Bwana
6 Kwa maana Bwana hutoa hekima,
7 Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,
8 kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki
9 Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki
10 Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,
11 Busara itakuhifadhi
12 Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,
13 wale waachao mapito yaliyonyooka
14 wale wapendao kutenda mabaya
15 ambao mapito yao yamepotoka
16 Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,
17 aliyemwacha mwenzi wa ujana wake
18 Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo
19 Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,
20 Hivyo utatembea katika njia za watu wema
21 Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,
22 Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,