1 Msifuni Bwana.
2 Israeli na washangilie katika Muumba wao,
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza
4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake,
5 Watakatifu washangilie katika heshima hii,
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao
7 ili walipize mataifa kisasi
8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo,
9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.