Salmos 149

SWHONEN

1 Msifuni Bwana.

2 Israeli na washangilie katika Muumba wao,

3 Na walisifu jina lake kwa kucheza

4 Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake,

5 Watakatifu washangilie katika heshima hii,

6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao

7 ili walipize mataifa kisasi

8 wawafunge wafalme wao kwa minyororo,

9 ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado