1 Msifuni Bwana.
2 Bwana hujenga Yerusalemu,
3 Anawaponya waliovunjika mioyo
4 Huzihesabu nyota
5 Bwana wetu ni mkuu na mwenye uwezo mwingi,
6 Bwana huwahifadhi wanyenyekevu
7 Mwimbieni Bwana kwa shukrani,
8 Yeye huzifunika anga kwa mawingu,
9 Huwapa chakula mifugo
10 Furaha yake haipo katika nguvu za farasi,
11 Bwana hupendezwa na wale wamchao,
12 Mtukuze Bwana, ee Yerusalemu,
13 kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako
14 Huwapa amani mipakani mwenu
15 Hutuma amri yake duniani,
16 Anatandaza theluji kama sufu
17 Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe.
18 Hutuma neno lake na kuviyeyusha,
19 Amemfunulia Yakobo neno lake,
20 Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote,