1 Msifuni Bwana!
2 Nitamsifu Bwana maisha yangu yote;
3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu,
4 Roho yao itokapo hurudi mavumbini,
5 Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,
6 Muumba wa mbingu na nchi,
7 Naye huwapatia haki walioonewa
8 Bwana huwafumbua vipofu macho,
9 Bwana huwalinda wageni
10 Bwana atamiliki milele,