Salmos 146

SWHONEN

1 Msifuni Bwana!

2 Nitamsifu Bwana maisha yangu yote;

3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu,

4 Roho yao itokapo hurudi mavumbini,

5 Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,

6 Muumba wa mbingu na nchi,

7 Naye huwapatia haki walioonewa

8 Bwana huwafumbua vipofu macho,

9 Bwana huwalinda wageni

10 Bwana atamiliki milele,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado