1 Sifa ni kwa Bwana Mwamba wangu,
2 Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,
3 Ee Bwana, mwanadamu ni nini hata umjali,
4 Mwanadamu ni kama pumzi,
5 Ee Bwana, pasua mbingu zako, ushuke,
6 Peleka umeme uwatawanye adui,
7 Nyoosha mkono wako kutoka juu,
8 ambao vinywa vyao vimejaa uongo,
9 Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,
10 kwa Yule awapaye wafalme ushindi,
11 Nikomboe na uniokoe
12 Kisha wana wetu wakati wa ujana wao
13 Ghala zetu zitajazwa
14 maksai wetu watakokota
15 Heri watu ambao hili ni kweli;