1 Ee Bwana, sikia sala yangu,
2 Usimhukumu mtumishi wako,
3 Adui hunifuatilia,
4 Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,
5 Nakumbuka siku za zamani;
6 Nanyoosha mikono yangu kwako,
7 Ee Bwana, unijibu haraka,
8 Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,
9 Ee Bwana, uniokoe na adui zangu,
10 Nifundishe kufanya mapenzi yako,
11 Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,
12 Kwa upendo wako usiokoma,