1 Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu;
2 ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,
3 Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,
4 Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu;
5 Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,
6 Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”
7 Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,
8 Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao,
9 Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe
10 Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!
11 Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;
12 Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki,
13 Hakika wenye haki watalisifu jina lako,