Salmos 140

SWHONEN

1 Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu;

2 ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,

3 Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,

4 Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu;

5 Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,

6 Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”

7 Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

8 Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao,

9 Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe

10 Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!

11 Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;

12 Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki,

13 Hakika wenye haki watalisifu jina lako,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado