Salmos 141

SWHONEN

1 Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,

4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

6 watawala wao watatupwa chini

7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,

9 Niepushe na mitego waliyonitegea,

10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado