1 Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.
2 Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;
3 Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,
4 Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,
5 Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;
6 watawala wao watatupwa chini
7 Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,
8 Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,
9 Niepushe na mitego waliyonitegea,
10 Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,