Salmos 139

SWHONEN

1 Ee Bwana, umenichunguza

2 Unajua ninapoketi na ninapoinuka;

3 Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;

4 Kabla neno halijafika katika ulimi wangu,

5 Umenizunguka nyuma na mbele;

6 Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu,

7 Niende wapi nijiepushe na Roho yako?

8 Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko;

9 Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko,

10 hata huko mkono wako utaniongoza,

11 Kama nikisema, “Hakika giza litanificha

12 hata giza halitakuwa giza kwako,

13 Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani;

14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa

15 Umbile langu halikufichika kwako,

16 macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika.

17 Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu!

18 Kama ningezihesabu,

19 Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu!

20 Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya,

21 Ee Bwana, je, nisiwachukie wanaokuchukia?

22 Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao,

23 Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,

24 Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado