1 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote,
2 Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu,
3 Nilipoita, ulinijibu;
4 Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana,
5 Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana,
6 Ingawa Bwana yuko juu,
7 Nijapopita katikati ya shida,
8 Bwana atatimiza kusudi lake kwangu,