1 Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza
2 Kwenye miti ya huko
3 kwa maana huko hao waliotuteka
4 Tutaimbaje nyimbo za Bwana,
5 Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu,
6 Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu
7 Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu,
8 Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa,
9 yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga