1 Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi,
2 Kwa nini mataifa waseme,
3 Mungu wetu yuko mbinguni,
4 Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,
5 Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
6 zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
7 zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,
8 Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
9 Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana,
10 Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana,
11 Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana,
12 Bwana anatukumbuka na atatubariki:
13 atawabariki wale wanaomcha Bwana,
14 Bwana na awawezeshe kuongezeka,
15 Mbarikiwe na Bwana
16 Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana,
17 Sio wafu wanaomsifu Bwana,
18 bali ni sisi tunaomtukuza Bwana,