1 Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;
2 Kwa sababu amenitegea sikio lake,
3 Kamba za mauti zilinizunguka,
4 Ndipo nikaliitia jina la Bwana:
5 Bwana ni mwenye neema na haki,
6 Bwana huwalinda wanyenyekevu,
7 Ee nafsi yangu, tulia tena,
8 Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,
9 ili niweze kutembea mbele za Bwana,
10 Niliamini, kwa hiyo nilisema,
11 Katika taabu yangu nilisema,
12 Nimrudishie Bwana nini
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu
14 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
15 Kifo cha watakatifu kina thamani
16 Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,
17 Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru
18 Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
19 katika nyua za nyumba ya Bwana,