Salmos 114

SWHONEN

1 Wakati Israeli walipotoka Misri,

2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

3 Bahari ilitazama ikakimbia,

4 milima ilirukaruka kama kondoo dume,

5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado