1 Wakati Israeli walipotoka Misri,
2 Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,
3 Bahari ilitazama ikakimbia,
4 milima ilirukaruka kama kondoo dume,
5 Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,
6 enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,
7 Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,
8 aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,