Salmos 113

SWHONEN

1 Msifuni Bwana.

2 Jina la Bwana na lisifiwe,

3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,

4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote,

5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu,

6 ambaye huinama atazame chini

7 Huwainua maskini kutoka mavumbini,

8 huwaketisha pamoja na wakuu,

9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado