1 Msifuni Bwana.
2 Jina la Bwana na lisifiwe,
3 Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,
4 Bwana ametukuka juu ya mataifa yote,
5 Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu,
6 ambaye huinama atazame chini
7 Huwainua maskini kutoka mavumbini,
8 huwaketisha pamoja na wakuu,
9 Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,