Salmos 112

SWHONEN

1 Msifuni Bwana.

2 Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,

3 Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,

4 Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,

5 Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,

6 Hakika hatatikisika kamwe,

7 Hataogopa habari mbaya,

8 Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,

9 Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;

10 Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado