1 Msifuni Bwana.
2 Kazi za Bwana ni kuu,
3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,
4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe,
5 Huwapa chakula wale wanaomcha,
6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,
7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,
8 Zinadumu milele na milele,
9 Aliwapa watu wake ukombozi,
10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,