Salmos 111

SWHONEN

1 Msifuni Bwana.

2 Kazi za Bwana ni kuu,

3 Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,

4 Amefanya maajabu yake yakumbukwe,

5 Huwapa chakula wale wanaomcha,

6 Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,

7 Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,

8 Zinadumu milele na milele,

9 Aliwapa watu wake ukombozi,

10 Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado