Salmos 108

SWHONEN

1 Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

2 Amka, kinubi na zeze!

3 Nitakusifu wewe, Ee Bwana, katikati ya mataifa;

4 Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;

5 Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

6 Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

7 Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

8 Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,

9 Moabu ni sinia langu la kunawia,

10 Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

11 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

12 Tuletee msaada dhidi ya adui,

13 Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado