Salmos 107

SWHONEN

1 Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema,

2 Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi,

3 wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,

4 Baadhi yao walitangatanga jangwani,

5 Walikuwa na njaa na kiu,

6 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

7 Akawaongoza kwa njia iliyo sawa

8 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

9 kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,

10 Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,

11 kwa sababu walikuwa wameasi

12 Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;

13 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

14 Akawatoa katika giza na huzuni kuu

15 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

16 kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba

17 Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,

18 Wakachukia kabisa vyakula vyote,

19 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

20 Akalituma neno lake na kuwaponya,

21 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

22 Na watoe dhabihu za kushukuru,

23 Wengine walisafiri baharini kwa meli,

24 Waliziona kazi za Bwana,

25 Kwa maana alisema na kuamsha tufani

26 Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,

27 Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,

28 Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao,

29 Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,

30 Walifurahi ilipokuwa shwari,

31 Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma,

32 Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,

33 Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,

34 nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,

35 Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,

36 aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,

37 Walilima mashamba na kupanda mizabibu,

38 Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,

39 Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa

40 Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,

41 Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,

42 Wanyofu wataona na kufurahi,

43 Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado