Salmos 106

SWHONEN

1 Msifuni Bwana.

2 Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya Bwana

3 Heri wale wanaodumisha haki,

4 Ee Bwana, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,

5 ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,

6 Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,

7 Wakati baba zetu walipokuwa Misri,

8 Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,

9 Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,

10 Aliwaokoa mikononi mwa adui;

11 Maji yaliwafunika adui zao,

12 Ndipo walipoamini ahadi zake,

13 Lakini mara walisahau aliyowatendea,

14 Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,

15 Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,

16 Kambini walimwonea wivu Mose,

17 Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,

18 Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,

19 Huko Horebu walitengeneza ndama,

20 Waliubadilisha Utukufu wao

21 Walimsahau Mungu aliyewaokoa,

22 miujiza katika nchi ya Hamu

23 Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:

24 Kisha waliidharau ile nchi nzuri,

25 Walinungʼunika ndani ya mahema yao,

26 Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa

27 kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,

28 Walijifunga nira na Baali wa Peori,

29 Waliichochea hasira ya Bwana,

30 Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,

31 Hili likahesabiwa kwake haki,

32 Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha Bwana,

33 kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,

34 Hawakuyaangamiza yale mataifa

35 bali walijichanganya na mataifa

36 Waliabudu sanamu zao,

37 Wakawatoa wana wao

38 Walimwaga damu isiyo na hatia,

39 Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;

40 Kwa hiyo Bwana akawakasirikia watu wake

41 Akawakabidhi kwa mataifa

42 Adui zao wakawaonea

43 Mara nyingi aliwaokoa

44 Lakini akaangalia mateso yao

45 kwa ajili yao akakumbuka agano lake,

46 Akawafanya wahurumiwe

47 Ee Bwana Mungu wetu, tuokoe.

48 Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado