1 Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake,
2 Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,
3 Lishangilieni jina lake takatifu,
4 Mtafuteni Bwana na nguvu zake,
5 Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,
6 enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,
7 Yeye ndiye Bwana Mungu wetu,
8 Hulikumbuka agano lake milele,
9 agano alilolifanya na Abrahamu,
10 Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,
11 “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani
12 Walipokuwa wachache kwa idadi,
13 walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,
14 Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;
15 “Msiwaguse niliowatia mafuta;
16 Akaiita njaa juu ya nchi
17 naye akatuma mtu mbele yao,
18 Walichubua miguu yake kwa minyororo,
19 hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia,
20 Mfalme alituma watu wakamfungua,
21 Alimfanya mkuu wa nyumba yake,
22 kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo
23 Kisha Israeli akaingia Misri,
24 Bwana aliwafanya watu wake kuzaana sana,
25 ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake,
26 Akamtuma Mose mtumishi wake,
27 Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,
28 Alituma giza na nchi ikajaa giza,
29 Aligeuza maji yao kuwa damu,
30 Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia
31 Alisema, yakaja makundi ya mainzi,
32 Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,
33 akaharibu mizabibu yao na miti ya tini,
34 Alisema, nzige wakaja,
35 wakala kila jani katika nchi yao,
36 Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao,
37 Akawatoa Israeli katika nchi
38 Misri ilifurahi walipoondoka,
39 Alitandaza wingu kama kifuniko,
40 Waliomba, naye akawaletea kware,
41 Alipasua mwamba, maji yakabubujika,
42 Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu,
43 Aliwatoa watu wake kwa furaha,
44 akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi
45 alifanya haya ili wayashike mausia yake