1 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.
2 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana,
3 akusamehe dhambi zako zote,
4 aukomboa uhai wako na kaburi,
5 atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,
6 Bwana hutenda haki,
7 Alijulisha Mose njia zake,
8 Bwana ni mwingi wa huruma na mwenye neema;
9 Yeye hatalaumu siku zote,
10 yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu
11 Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,
12 kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,
13 Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,
14 kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,
15 Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,
16 upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,
17 Lakini kutoka milele hata milele
18 kwa wale walishikao agano lake
19 Bwana ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,
20 Mhimidini Bwana, enyi malaika zake,
21 Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,
22 Mhimidini Bwana, kazi zake zote