1 Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,
2 kabla ya wakati ulioamriwa haujafika
3 Mtafuteni Bwana, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi,
4 Gaza utaachwa
5 Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,
6 Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi,
7 Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda,
8 “Nimeyasikia matukano ya Moabu
9 Hakika, kama niishivyo,”
10 Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao,
11 Bwana atakuwa wa kuhofisha kwao
12 “Ninyi pia, ee Wakushi,
13 Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini
14 Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale,
15 Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha