1 Neno la Bwana lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:
2 Bwana asema,
3 “Nitafagilia mbali watu na wanyama;
4 “Nitaiadhibu Yuda
5 wale ambao husujudu juu ya mapaa
6 wale wanaoacha kumfuata Bwana,
7 Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,
8 Katika siku ya dhabihu ya Bwana
9 Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao
10 Bwana asema, “Katika siku hiyo
11 Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;
12 Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,
13 Utajiri wao utatekwa nyara,
14 “Siku kubwa ya Bwana iko karibu:
15 Siku ile ni siku ya ghadhabu,
16 siku ya tarumbeta na mlio wa vita
17 Nitawaletea watu dhiki,
18 Fedha yao wala dhahabu yao