1 Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.
2 Bwana, nimezisikia sifa zako;
3 Mungu alitoka Temani,
4 Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo;
5 Tauni ilimtangulia;
6 Alisimama, akaitikisa dunia;
7 Niliona watu wa Kushani katika dhiki,
8 Ee Bwana, uliikasirikia mito?
9 Uliufunua upinde wako
10 milima ilikuona ikatetemeka.
11 Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni
12 Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia,
13 Ulikuja kuwaokoa watu wako,
14 Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake
15 Ulikanyaga bahari kwa farasi wako,
16 Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu,
17 Ingawa mtini hauchanui maua
18 hata hivyo nitashangilia katika Bwana,
19 Bwana Mwenyezi ni nguvu yangu;