1 Ole mji wa wadhalimu,
2 Hautii mtu yeyote,
3 Maafisa wake ni simba wangurumao,
4 Manabii wake ni wenye kiburi,
5 Bwana aliye ndani yake ni mwenye haki,
6 “Nimeyafutilia mbali mataifa,
7 Niliuambia huo mji,
8 Bwana anasema,
9 “Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,
10 Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi
11 Siku hiyo hutaaibishwa
12 Lakini nitakuachia ndani yako
13 Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;
14 Imba, ee Binti Sayuni;
15 Bwana amekuondolea adhabu yako,
16 Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,
17 Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,
18 “Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa
19 Wakati huo nitawashughulikia
20 Wakati huo nitawakusanya;