Sofonias 3

SWHONEN

1 Ole mji wa wadhalimu,

2 Hautii mtu yeyote,

3 Maafisa wake ni simba wangurumao,

4 Manabii wake ni wenye kiburi,

5 Bwana aliye ndani yake ni mwenye haki,

6 “Nimeyafutilia mbali mataifa,

7 Niliuambia huo mji,

8 Bwana anasema,

9 “Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,

10 Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi

11 Siku hiyo hutaaibishwa

12 Lakini nitakuachia ndani yako

13 Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;

14 Imba, ee Binti Sayuni;

15 Bwana amekuondolea adhabu yako,

16 Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,

17 Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,

18 “Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa

19 Wakati huo nitawashughulikia

20 Wakati huo nitawakusanya;

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado