1 Hekima amejenga nyumba yake;
2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;
3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita
4 Anawaambia wale wasio na akili,
5 Njooni, mle chakula changu
6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;
7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha
8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;
9 Mfundishe mtu mwenye hekima
10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,
11 Kwa maana kwa msaada wangu
12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;
13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;
14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,
15 akiita wale wapitao karibu,
16 Anawaambia wale wasio na akili,
17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu;
18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,