Provérbios 9

SWHONEN

1 Hekima amejenga nyumba yake;

2 Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;

3 Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita

4 Anawaambia wale wasio na akili,

5 Njooni, mle chakula changu

6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;

7 “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha

8 Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;

9 Mfundishe mtu mwenye hekima

10 “Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,

11 Kwa maana kwa msaada wangu

12 Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;

13 Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;

14 Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,

15 akiita wale wapitao karibu,

16 Anawaambia wale wasio na akili,

17 “Maji yaliyoibiwa ni matamu;

18 Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado