Provérbios 8

SWHONEN

1 Je, hekima haitani?

2 Juu ya miinuko karibu na njia,

3 kando ya malango yaelekeayo mjini,

4 “Ni ninyi wanaume, ninaowaita;

5 Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili;

6 Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema;

7 Kinywa changu husema lililo kweli,

8 Maneno yote ya kinywa changu ni haki;

9 Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi;

10 Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,

11 kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani

12 “Mimi hekima, nakaa pamoja na busara;

13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu;

14 Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu;

15 Kwa msaada wangu wafalme hutawala

16 kwa msaada wangu wakuu hutawala,

17 Nawapenda wale wanipendao,

18 Utajiri na heshima viko kwangu,

19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi;

20 Natembea katika njia ya unyofu

21 nawapa utajiri wale wanipendao

22 “Bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake,

23 niliteuliwa tangu milele,

24 Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa,

25 kabla milima haijawekwa mahali pake,

26 kabla hajaumba dunia wala mashamba yake

27 Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake,

28 wakati aliweka mawingu juu

29 wakati aliiwekea bahari mpaka wake

30 Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake.

31 nikifurahi katika dunia yake yote

32 “Basi sasa wanangu, nisikilizeni;

33 Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima;

34 Heri mtu yule anisikilizaye mimi,

35 Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima

36 Lakini yeyote ashindwaye kunipata

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado