1 Je, hekima haitani?
2 Juu ya miinuko karibu na njia,
3 kando ya malango yaelekeayo mjini,
4 “Ni ninyi wanaume, ninaowaita;
5 Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili;
6 Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya kusema;
7 Kinywa changu husema lililo kweli,
8 Maneno yote ya kinywa changu ni haki;
9 Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi;
10 Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,
11 kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani
12 “Mimi hekima, nakaa pamoja na busara;
13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu;
14 Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu;
15 Kwa msaada wangu wafalme hutawala
16 kwa msaada wangu wakuu hutawala,
17 Nawapenda wale wanipendao,
18 Utajiri na heshima viko kwangu,
19 Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi;
20 Natembea katika njia ya unyofu
21 nawapa utajiri wale wanipendao
22 “Bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake,
23 niliteuliwa tangu milele,
24 Wakati hazijakuwepo bahari, nilikwishazaliwa,
25 kabla milima haijawekwa mahali pake,
26 kabla hajaumba dunia wala mashamba yake
27 Nilikuwepo alipoziweka mbingu mahali pake,
28 wakati aliweka mawingu juu
29 wakati aliiwekea bahari mpaka wake
30 Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake.
31 nikifurahi katika dunia yake yote
32 “Basi sasa wanangu, nisikilizeni;
33 Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima;
34 Heri mtu yule anisikilizaye mimi,
35 Kwa maana yeyote anipataye mimi amepata uzima
36 Lakini yeyote ashindwaye kunipata