1 Mwanangu, shika maneno yangu
2 Shika amri zangu nawe utaishi;
3 Yafunge katika vidole vyako;
4 Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”
5 watakuepusha na mwanamke mzinzi,
6 Kwenye dirisha la nyumba yangu
7 Niliona miongoni mwa wajinga,
8 Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake,
9 wakati wa machweo, jua likipungua nuru yake,
10 Ndipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,
11 (Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,
12 mara kwenye barabara za mji,
13 Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu,
14 “Nina sadaka za amani nyumbani;
15 Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki;
16 Nimetandika kitanda changu
17 Nimetia manukato kitanda changu
18 Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi;
19 Mume wangu hayupo nyumbani;
20 Amechukua mkoba uliojazwa fedha
21 Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha;
22 Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke
23 mpaka mshale umchome ini lake,
24 Sasa basi wanangu, nisikilizeni;
25 Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke,
26 Aliowaangusha ni wengi;
27 Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini,