1 Mithali za Solomoni:
2 Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai,
3 Bwana hawaachi waadilifu kukaa njaa,
4 Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini
5 Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi
6 Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki,
7 Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka,
8 Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo,
9 Mtu mwadilifu hutembea salama,
10 Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni,
11 Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima,
12 Chuki huchochea faraka,
13 Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua,
14 Wenye hekima huhifadhi maarifa,
15 Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,
16 Ujira wa wenye haki huwaletea uzima,
17 Anayekubali kuadibishwa yuko katika njia ya uzima,
18 Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo,
19 Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani,
20 Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora,
21 Midomo ya mwenye haki hulisha wengi,
22 Baraka ya Bwana hutajirisha,
23 Mpumbavu hufurahia tabia mbaya,
24 Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata;
25 Tufani inapopita, waovu hutoweka,
26 Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho,
27 Kumcha Bwana huongeza urefu wa maisha,
28 Tarajio la mwenye haki ni furaha,
29 Njia ya Bwana ni kimbilio kwa wenye haki,
30 Kamwe wenye haki hawataondolewa,
31 Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima,
32 Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa,