Provérbios 11

SWHONEN

1 Bwana huchukia sana mizani za udanganyifu,

2 Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu,

3 Uadilifu wa wenye haki huwaongoza,

4 Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu,

5 Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka,

6 Haki ya wanyofu huwaokoa,

7 Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka;

8 Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu,

9 Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu

10 Wakati mwenye haki anapofanikiwa, mji hufurahi;

11 Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa,

12 Mtu asiye na akili humdharau jirani yake,

13 Masengenyo husaliti tumaini,

14 Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,

15 Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,

16 Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima,

17 Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe,

18 Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu,

19 Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima,

20 Bwana huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu,

21 Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa,

22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe

23 Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema,

24 Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi,

25 Mtu mkarimu atastawi;

26 Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka,

27 Yeye atafutaye mema hupata ukarimu,

28 Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka,

29 Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo,

30 Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,

31 Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani,

Ler em outra tradução

Comparar lado a lado